Tuesday, April 28, 2015
Monday, April 27, 2015
ARSENAL, CHELSEA NGUVU SAWA
ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa kutambiana katika mechi yao ya
Ligi Kuu ya England iliyopigwa kwenye Uwanja wa Emirates jijini London.
Mpaka mwisho wa dakika 90, Arsenal 0-0 Chelsea.
Kwa matokeo ya leo Chelsea wamefikisha pointi 77 wakiwa nafasi ya kwanza huku Arsenal wakiwa na pointi 67 katika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City.
VIKOSI:
Arsenal (4-2-3-1): Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin (Welbeck 75), Cazorla, Ramsey, Ozil, Sanchez, Giroud (Walcott 82)
Waliokuwa benchi: Szczesny, Debuchy, Gibbs, Wilshere, Flamini
Chelsea (4-2-3-1): Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian (Cuadrado 90), Oscar (Drogba 46), Hazard, Fabregas (Zouma 90)
Waliokuwa benchi: Cech, Luis, Mikel, Loftus-Cheek
Kwa matokeo ya leo Chelsea wamefikisha pointi 77 wakiwa nafasi ya kwanza huku Arsenal wakiwa na pointi 67 katika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City.
VIKOSI:
Arsenal (4-2-3-1): Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin (Welbeck 75), Cazorla, Ramsey, Ozil, Sanchez, Giroud (Walcott 82)
Waliokuwa benchi: Szczesny, Debuchy, Gibbs, Wilshere, Flamini
Chelsea (4-2-3-1): Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian (Cuadrado 90), Oscar (Drogba 46), Hazard, Fabregas (Zouma 90)
Waliokuwa benchi: Cech, Luis, Mikel, Loftus-Cheek
Saturday, April 25, 2015
BALAAAAA TENA, ANGALIA HII
Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal
Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.
Shirika
la utafiti la Marekani lilisema kuwa tetemeko hilo la vipimo vya 7.5
lilikumba aneo liilo umbali wa kilomita nane mashariki mwa Pokhara,
magharini mwa mji mkuu Kathmandu.Kuna ripoti za uharibifu ya majengo. Idadi ya watu waliokufa au kujeruhiwa haijulikani. Mitetemeko midogo ilisikika pia umbali wa hadi mji wa New Delhi na miji mingine kusini mwa India.
SHEREHE ZA MIAKA 100 ZAFANYIKA
Sherehe za miaka 100 zafanyika Gallipoli
| Sanamu za makumbusho Gallipoli |
Sherehe
zimefanyika eneo la Gallipoli nchini Uturuki kuadhimisha miaka mia moja
tangu uvamizi wa kijeshi uliofanywa eno hilo na wanajeshi wa muungano
wakati wa vita vya kwanza vya dunia.
Zaidi ya watu 100,00 waliuwa kwenye uvamizi huo ulioendeshwa dhidi ya ufalme wa Ottoman.Wageni kutoka nchi zote zilizopigana walihudhuria sherehe hizo wakiwemo viongozi kutoka Uturuki , Australia na New Zealnd, ambazo zote zilipoteza watu wengi.
Sherehe pia zilifanyika mapema nchini New Zealand na pia mjini Sydney. Zaidi ya wanajeshi 10,000 wa Australia na New Zealand waliuawa kwenye vita hivyo vilivyofeli.
Subscribe to:
Comments (Atom)







































