Monday, August 17, 2015

ICHEKI MASHINE MPYA YA SIMBA ALIVYOTIKISA NA KUJIAMINI


Moja ya wachezaji waliotikisa vichwa vya habari za michezo mwishoni mwa Juma lililopita ni Straika mpya wa Simba, Kelvin Ndayisenga,  raia wa Burundi.

Nyota huyo alifunga goli lake la kwanza Jumamosi iliyopita Simba ikishinda 2-1

Tuesday, August 11, 2015

MESSI LEO KUONYESHA NJONJO ZAKE DHIDI YA SEVILLA

Mchawi wa Barcelona,  Lionel Messi ameonekana mtulivu kwenye mazoezi ya jana akijiandaa na mechi ya UEFA Super Cup.
Siku chache zilizopita, Messi alicheza dhidi ya AS Roma katika mechi ya kirafiki dhidi ya AS Roma ya Italia, lakini ndani ya uwanja kulikuwa na cheche za aina yake.
Messi alimpiga kichwa na kumkaba koo beki wa Roma, Mapou Yanga-M'Biwa,  Barcelona ikishinda 3-0 Camp Nou.
Muargentina huyo hakuoneshwa kadi nyekundu kwa kufanya tukio hilo.
Andres Iniesta and Gerard Pique walk together during a training session at the Boris Paichadze Dinamo Arena

HUYU JAMAA NOMA

Mwishoni mwa juma lililopita Mayweather (kushoto) alitunukiwa tuzo ya Nevada Boxing Hall of Fame 

Wakati huu akijiandaa kupanda ulingoni mwezi septemba mwaka huu dhidi ya Andre Berto, Floyd Mayweather aliomba ataje mabondia watano wakubwa zaidi kuwahi kutokea duniani.
Mayweather poses with his father Floyd Mayweather Sr (left) and his portrait at Caesars Palace in Las Vegas
Mayweather aliwashangaza watangazaji wa TV ya ESPN mjini Los Angeles baada ya kujitangaza mwenyewe kuwa ndiye bondia bora zaidi wa wakati wote.
Mr Money alijiita ni mtu wa ajabu zaidi kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa masumbwi.
When asked to name the five greatest boxers of all time, the 38-year-old pronounced himself as the best 
Mayweather alisema: "Nimewapiga mabingwa zaidi wa dunia kuliko bondia yeyote ndani ya muda mfupi. Nimewapiga wengi zaidi na nimepigwa kidogo sana".

Tuesday, August 04, 2015

ANGALIA HII YA MBOWE =SLAA

 
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (pichani) amezungumzia kukosekana kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa katika vikao vya chama hicho vinavyoendelea jijini, akisema: “Nitazungumzia suala hilo muda muafaka ukifika.”

Mbowe alisema hayo jana katika Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach kilipokuwa

DONDOO ZA MAGAZETI 4/8/2015

KLABU YA UFARANSA KUMSAJILI RAFAELI



 
Beki wa kulia wa Manchester United, Rafael da Silva
Klabu ya Lyon ya Ufaransa imemsajili beki wa kulia wa Manchester United Rafael da Silva kwa mkataba wa miaka minne na kwa kitita ambacho hakikutajwa.
Rafael mwenye miaka 25 alijiunga na Manchester United akiwa na pacha wake Fabio kutoka Fluminense mwaka 2008.
Katika msimu uliopita beki huyu alianza katika michezo sita tu kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya mara kwa mara.
Kupitia mtandao wake wa twitter Rafael aliandika "nataka kuwashukuru mashabiki kwa mapenzi kwa miaka minane niliyokuepo hapo''
Rafael amecheza jumla ya michezo 170 na akifunga mabao 5 pacha wake Fabio alijiunga na Cardiff City katika msimu wa 2014.