Tuesday, May 31, 2016

MAALIM SIEF KIKAANGONI POLISI


Baada ya Jeshi la Polisi Zanzibar kuahirisha kumhoji Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, hatimaye hatua hiyo sasa imeelekea kutekelezwa.


Taarifa rasmi ya jeshi hilo visiwani Zanzibar, imemtaka Maalim Seif afike katika Ofisi za Makao Makuu ya Polisi, Ziwani mjini hapa leo saa 4.00 asubuhi.

Friday, April 22, 2016

MBUNGE WA CHADEMA AMVAA MAGUFULI ALIPE KODI





Katika mjadala wa jana bungeni, mbunge wa CHADEMA viti maalum kutoka mkoa wa Geita, Upendo Peneza amlipua Rais Magufuli ya kwamba anapaswa kuonyesha mfano katika kulipa kodi kutoka kwenye mshahara wake ambao kwa sasa haukatwi kodi..

Hali hiyo ilizua taharuki ambapo waziri wa ofisi ya Rais, TAMISEMI Simbachawene aliinuka na kuomba kutoa taarifa. Katika kutoa kwake taarifa waziri alisema mshahara wa Rais haujadiliwi popote pale, ikiwa ni sharti ndani ya katiba ibara ya 43.

Mbunge Peneza katika kukataa taarifa hiyo alisema hoja yake ya msingi ni kutaka Rais aonyeshe kuongoza kwa mfano kwa kulipa kodi kama anavyosisitiza wananchi na wafanyabiashara kulipa kodi.

Tuesday, March 22, 2016

UCHAGUZI WA MEYA KUFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru uchaguzi wa meya na naibu meya wa Jiji la Dar es Salaam, kufanyika leo kama ilivyopangwa.

Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema alitoa uamuzi huo jana akijibu maombi yaliyokuwa yamewasilishwa na walalamikaji, Suzan Massawe na Saad Mohammed Kimji kupitia wakili wao,

Tuesday, March 15, 2016

WAKUU WA MIKOA KUAPISHWA LEO IKULU DAR ES SALAAM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha Wakuu wa Mikoa wapya wa mikoa 26 ya

Saturday, March 05, 2016

MAGUFULI : MAFISADI WAKINISHINDA MSINIITE RAIS,WALIOTUMBULIWA SI WENGI HATA HAWAJAFIKA 2000

Rais Dk. John Magufuli amesema amejitolea kuwa sadaka kwa Tanzania katika vita dhidi ya mafisadi na kwamba akishindwa kufanya hivyo, hakuna sababu ya yeye kuitwa rais. 
Pia amesema wote waliotumbuliwa majipu watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake. 
Akizungumza jana katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika sehemu ya barabara ya Sakina hadi Tengeru yenye urefu wa kilomita 14.1, itakayokuwa na njia nne, alisema ataendelea kutumbua majipu kwa kuwa wanaonufaika na kudidimiza uchumi wa nchi ni wachache. 
“Tumeanza kuchukua hatua ndogo ndogo, tunatumbua majipu. Mpaka sasa

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 5/3/2016




Saturday, February 27, 2016

BAADA YA TAMKO LA MAGUFULI MAWAZIRI WOTE WAJAZA TAMKO LA MALI NA MADENI WALIONAYO.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo lilitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli la kuwataka mawaziri ambao hawajajaza Tamko la Rasilimali na Madeni wakamilishe kabla ya saa 12 leo jioni limetekelezwa. 
Waziri Mkuu amepokea barua kutoka kwa Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji (Mst.) Salome Kaganda ikithibitisha kuwa mawaziri na naibu mawaziri wote wametekeleza agizo hilo. 

SOMA YA LEO MAGAZETI 27/02/2016


Saturday, January 30, 2016

CHADEMA WAMPA SIKU TATU MAGUFULI KUFUTA AGIZO LA TBC

Chadema wampa siku tatu Rais Magufuli

Katibu Mwenezi Bavicha Taifa, Edward Simbeyi

BARAZA la Vijana wa Chadema (BAVICHA) kwa kushirikiana na Umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu Chadema (Chaso) wametoa siku tatu kwa Rais John Magufuli kufuta agizo la Shirika la utangazaji la Tanzania (TBC) kutokurusha moja kwa moja mikutano ya Bunge inayoendelea Dodoma. Anaandika Sarafina Lidwino … (endelea).


Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Katibu Mwenezi Taifa Bavicha Edward Simbeyi amesema, kitendo kilichofanywa na Serikali ni udikteta na kwamba, inawanyima

MAGAZETI YA LEO 30/01/2016

Tuesday, January 12, 2016

WAZIRI MUHONGO ATAKA TANESCO IJIENDESHE KIBIASHARA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo (katikakati) akimsikiliza Mbunge Mteule wa Jimbo la Ludewa, Deo  Ngalawa (kulia) wakati

Friday, January 08, 2016

NEY WA MITEGO KUJISALIMISHA TRA

NayWaMitegoMbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’.
KUFUATIA kasi ya utumbuaji majipu wa Rais DK. John Pombe Magufuli kuendelea kutia hofu kwa wenye mali, Mbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa

Saturday, January 02, 2016

KAMPUNI YA TIGO YAPIGWA FAINI



????????????????????????????????????
Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez

KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego Gutierrez imepigwa faini ya Sh. Milioni 25 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kosa la kushindwa kudhibiti utumaji wa ujumbe wa ulaghai na udanganyifu kwa wateja wake.