Tuesday, March 22, 2016

UCHAGUZI WA MEYA KUFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru uchaguzi wa meya na naibu meya wa Jiji la Dar es Salaam, kufanyika leo kama ilivyopangwa.

Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema alitoa uamuzi huo jana akijibu maombi yaliyokuwa yamewasilishwa na walalamikaji, Suzan Massawe na Saad Mohammed Kimji kupitia wakili wao,

Tuesday, March 15, 2016

WAKUU WA MIKOA KUAPISHWA LEO IKULU DAR ES SALAAM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha Wakuu wa Mikoa wapya wa mikoa 26 ya

Saturday, March 05, 2016

MAGUFULI : MAFISADI WAKINISHINDA MSINIITE RAIS,WALIOTUMBULIWA SI WENGI HATA HAWAJAFIKA 2000

Rais Dk. John Magufuli amesema amejitolea kuwa sadaka kwa Tanzania katika vita dhidi ya mafisadi na kwamba akishindwa kufanya hivyo, hakuna sababu ya yeye kuitwa rais. 
Pia amesema wote waliotumbuliwa majipu watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake. 
Akizungumza jana katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika sehemu ya barabara ya Sakina hadi Tengeru yenye urefu wa kilomita 14.1, itakayokuwa na njia nne, alisema ataendelea kutumbua majipu kwa kuwa wanaonufaika na kudidimiza uchumi wa nchi ni wachache. 
“Tumeanza kuchukua hatua ndogo ndogo, tunatumbua majipu. Mpaka sasa

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 5/3/2016